Katibu Mkuu Wizara ya Afya – Idara
Kuu ya Maendelo ya Jamii Dkt. John Jingu akikata utepe kuzindua Dawati
la Ulinzi wa Mtoto katika Shule ya Msingi Laela A, Halmahsauri ya
Sumbawanga Viijijini Mkoani Rukwa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto
yaliyofanyika katika.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya- Idara
Kuu ya Maendelo ya Jamii Dkt. John Jingu akifungua sanduku la maoni
lililopo katika Dawati la Ulinzi wa Mtoto katika Shule ya Msingi Laela
A, Halmahsauri ya Sumbawanga Viijijini Mkoani Rukwa wakati wa
Maadhimisho ya Siku ya Mtoto yaliyofanyika katika
Baadhi ya watoto wa Shule ya Msingi Laela A wakisikiliza masuala mabalimbali yaliyokuwa yakizungumzwa katika Maadhimisho ya Siku ya Mtoto yaliyofanyika katika Halmahsauti ya Sumbawanga Viijijini mkoani Rukwa.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendelo ya Jamii Dkt. John Jingu
akikabidhi chapisho lenye namba maalum ya bure ya 116 ya kutoa taarifa
ya vitendo vya uaktili dhidi ya watoto wakati wa Maadhimisho ya Siku ya
Mtoto yaliyofanyika katika Halmahsauti ya Sumbawanga Viijijini mkoani
Rukwa.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendelo ya Jamii Dkt. John Jingu akizungumza na wananfunzi wa Shule ya MSI
Picha na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...