Rose Mweleka (24) ni mfamasia mwenye digrii aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Kampala, Dar es Salaam. Anatumia muda wake kuwafundisha viongozi vijana kusaidia kufanya mabadiliko katika jamii.
Abdulatif Hassan (16), Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Chuini Zanzibar ambaye pia ni mtangazaji wa Kituo cha Radio cha Zenj FM akielezea jinsi watoto wenye virusi vya UKIMWI wanavyo nyanyapaliwa katika jamii.
Spika wa Bunge, Job Ndugai, Katibu wa Bunge, Dk. Steven Kagaigai (kulia) , Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson wakiwa katika picha ya pamoja na watoto, vijana waliokuwaq wasemaji wakuu katika warsha hiyo pamoja na viongozi wa UNICEF. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...