Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimpongeza Mbunge wa Jimbo lwa Ruagwa, Majaliwa Kassim Majaliwa, baada ya jina lake kuteuliwa kupigiwa kura ya kuchaguliwa na Wabunge kuwa Waziri Mkuu, wakati wa kikao cha tatu Bunge la 12 kilichofanyika katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma, jana. (Picha na Muhidin Sufiani)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...