Spika wa Bunge, Mhe. Job Y. Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson  na kulia ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson  akizungumza wakati wa  mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.Spika Mstaafu wa Bunge, Mhe. Pius Mswekwa akitoa mada wakati wa mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma.  Spika Mstaafu wa Bunge, Mhe. Anne Makinda akitoa mada wakati wa  mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma.Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali, Wilbert Ibuge akitoa mada wakati wa  mafunzo ya Waheshimiwa Wabunge yanaoendelea  Bungeni Jijini Dodoma.

 PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...