Waziri
Mkuu Mstaafu, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa akipokea
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kanuni za Kudumu za Bunge
kutoka kwa Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai wakati alipoapa Bungeni
Jijini Dodoma, Novemba 10, 2020
Waziri Mkuu Mstaafu, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa akiapa kuwa mbunge wa Ruangwa, Bungeni Jijini Dodoma Novemba 10, 2020
Waziri Mkuu Mstaafu, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa akiapa kuwa mbunge wa Ruangwa, Bungeni Jijini Dodoma Novemba 10, 2020
Waziri
Mkuu Mstaafu, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa akizungumza
na Mbunge wa Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, Bungeni Jijini
Dodoma Novemba 10, 2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...