Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi (katikati) akifafanua jambo kwa washiriki wa warsha ya mawasiliano ya kimkakati kwa wasemaji wa vilabu na mashrikisho ya Michezo nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo na kushoto ni Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.

Katibu Mkuu nwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akitoa mada wakati wa warsha ya mawasiliano ya kimkakati kwa wasemaji wa vilabu na mashrikisho ya Michezo nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu nwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akitoa mada wakati wa warsha ya mawasiliano ya kimkakati kwa wasemaji wa vilabu na mashrikisho ya Michezo nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam. 

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo akizungumza na wadau wa Michezo wakati wa uzinduzi wa warsha ya mawasiliano ya kimkakati kwa wasemaji wa vilabu na mashrikisho ya Michezo nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi na kushoto ni  HH Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya Bw.Richard Mganga.

Baadhi ya washiriki wa warsha ya mawasiliano ya kimkakati kwa wasemaji wa vilabu na mashrikisho ya Michezo wakimsikiliza Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi (hayupo pichani) Wakati wa uzinduzi wa warsha hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 

Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya mawasiliano ya kimkakati kwa wasemaji wa vilabu na mashrikisho ya Michezo nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Picha na WHUSM – Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...