Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato ( Mb.) akizungumza na viongozi wa Idara na Taasisi tajwa hapo juu.( hawamo picha) Viongozi
mbalimbali wa Idara ya Petroli na Gesi wa Wizara ya Nishati, viongozi
kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Wakala wa
Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja ( PBPA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma
ya Nishati na Maji ( EWURA), wakifuatilia mada iliyokuwa inatolewa na
Kaimu Kamishna wa Petroli na Gesi wa Wizara ya Nishati Eng. Marwa Petro
( hayumo pichani) wakati wa kikao hicho kilichofanyika leo kwenye ofisi
za Wizara ya Nishati, zilizopo Mtumba jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...