RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akiagana na Gavana wa  Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof.Florens D.A.M.Luoga (kati) mara baada ya mazungumzo na Uongozi wa Benki hiyo yaliyofanyika leo  katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/12/2020. 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) (kushoto) leo wakati walipofika kumpa pongezi na kuzungumzia masuala mbali mbali ya kiutendaji katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/12/2020.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) (kushoto) leo wakati walipofika kumpa pongezi na kuzungumzia masuala mbali mbali ya kiutendaji katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/12/2020. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...