RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi.Ruth Zaipuna alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo na kumpongeza akiwa na Ujumbe wake  (kulia) mazungumzo hayo yamefanyika leo 10/12/2020.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna alipofika ikulu na Ujumbe wake (kulia) Afisa Mkuu Wateja  Binafsi na Wafanyabiashara Ndg. Fillbert Mponzi na Afisa Mkuu Wateja
Binafsi na Biashara wa NMB Ndg. Alfred Shao, mazungumzo hayo  yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10/12/2020.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki  ya NMB Bi. Ruth Zaipuna alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza akiwa na ujumbe wa Maafisa Wakuu wa Vitengo vya Benki ya NMB, hafla hiyo imefanyika leo 10/12/2020.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Kadi yake ya  ATM na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna, baada ya kumaliza
mazungumzo yao  yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10/12/2020.(Picha na Ikulu)
/RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.  Hussein Ali Mwinyi akiwa na Kadi yake ya ATM baada ya kukabidhiwa na Afisa Mtendaji Mkuu  wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna , baada ya  kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika leo 10/12/2020 katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya  NMB Bi.Ruth Zaipuna na Ujumbe wake wa Maafisa wa Vitengo mbalimbali vya  Benki ya NMB, baada ya kumalizika mazungumzo yao yaliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10/12/2020.(Picha na Ikulu)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...