Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Waziri wa
Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga wakati alipowasili
katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo.[Picha na
Ikulu.] 05/12/2020. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa katika
Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi
Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kushoto) Makamo wa
Pili wa Rais Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Kazi,Uchumi na
Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga. [Picha na Ikulu.] 05/12/2020.

Wafanyakazi wa Taasisi mbali
mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika Mkutano na
Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) [Picha na Ikulu.] 05/12/2020.
Baadhi
ya Wafanyabishara wa Makampuni mbali mbali Zanzibar wakiwa
katika Mkutano wa pamoja na taasisi mbali mbali za Serikali uliofanyika
leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) [Picha na Ikulu.]
05/12/2020.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...