Meneja Mwandamizi wa benki ya Exim Zanzibar Bw Mwinyimkuu Ngalima (kulia) akikabidhi zawadi ya simu kwa mmoja wa washindi wa wiki wa kampeni ya  'Chanja Kijanja na Exim  MasterCard' ya benki hiyo Bi Amani Makungu wa Zanzibar. Pamoja na zawadi nyingine washindi wa kampeni hiyo watajipatia zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslimu za ada ya shule kwa mtoto pamoja na vifaa vyote vya shule sambamba na safari za kwenda Serengeti na  Zanzibar wakiwa na wenza wao huku kila kitu kikiwa kimelipiwa.
 Afisa Mwandamizi Huduma kwa wateja benki ya Exim Bi Farida Chambo  (kulia) akikabidhi zawadi ya simu kwa mmoja wa washindi wa wiki wa kampeni ya  'Chanja Kijanja na Exim  MasterCard' ya benki hiyo Bw Krushant Buhecha wa jijini Dar es Salaam. Pamoja na zawadi nyingine washindi wa kampeni hiyo watajipatia zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslimu za ada ya shule kwa mtoto pamoja na vifaa vyote vya shule sambamba na safari za kwenda Serengeti na  Zanzibar wakiwa na wenza wao huku kila kitu kikiwa kimelipiwa.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...