Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA)
Dkt. Mussa Juma akitoa maelezo ya utendaji kazi wao na kumkaribisha
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Jamal Kassim Ali kutoa
hotuba yake alipofika kutembelea mamlaka hiyo Ofisini kwao Kilimani
Mjini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Jamal
Kassim Ali akizungumza na watendaji wakuu wa Mamlaka ya usimamizi wa
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima
(TIRA) Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Fedha na Mipango Jamal Kassim (hayupo pichani) ambapo ameshauri
mamlaka kupiga vita bima feki.
Katibu msaidizi Tume ya Pamoja ya Fedha Zanzibar
Wadi Haji Ali akisoma ripoti ya utendaji wa tume hiyo kwa Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Jamal Kassim Ali alipotembelea
Ofisini kwao Jengo la ZSTC Kinazini Mjini Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...