Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini HESLB Ndg. Abdul-Razaq Badru akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa bodi hiyo kwenye Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia jambo wakati wakipokea taarifa ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt. Charles Msonde akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa baraza hilo kwenye Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...