Wananchi wakindeleaana kujipatia mahitahi yako katika kituo cha Daladala Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam.
Bei ya fungu la viazi katika kituo cha Daladala Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam fungu linaanzia  shilingi 1000 hadi 2000.
Bei ya fungu la Maenbe  kati ya  sh.1000/= mpaka 2000/= katika kituo cha Daladala  Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam kama inavyo onekana katika picha.
Baadhi ya wananchi wa maneo mbalimbali katika jiji la Dar es salaam wakiwa katika kituo Daladala Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo wakijipatia mahitaji yao mbalimbali ambapo fungu la Nyanya ni shiling 500 mpaka 1000,karoti fungu  ni shiling 1,000 mpka 2,000 pilipili fungu shiling 500, hoho fungu fungu 500.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...