Bei ya Mchele leo Januari 14, 2021 katika soko Kuu la Ubungo wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Kama inavyoonekana katika picha.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Wananchi wa jiji la Dar es Salaam leo wakinunu mahitaji yao mbalimbali katika duka la vyakula lilipo katika soko Kuu la Ubungo wilaya ya Ubungo jijini Dar e salaam kama inavyoonekana pichani.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...