MANISPAA ya Temeke chini ya uongozi wa  Mkuu wa Wilaya hiyo Godwin Gondwe imekutana na wawekezaji, Taasisi za Serikali na mashirika ya Umma ya Manispaa hiyo na kusikiliza changamoto zao na kuboresha mahusiano yao. pamoja na kutengeneza mazingira wezeshi ya uwekezaji ili kukuza uchumi wa Manispaa hiyo.

Mkutano huo umewakutanisha na Taasisi za serikali, mashirika mbalimbali ya umma na uwekezaji  yakiwemo DAWASA, Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA,) Shirika la viwango Tanzania ( TBS, ) ALAF na DTP. NEMC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...