Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge akifurahia jambo na Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa wanaojenga miundombinu ya Skimu ya umwagiliaji ya Kikosi cha Chita JKT 837 uliopo Ifakara Mkoani Morogoro. mradi huo unatekelezwa na JKT katika kikosi hicho.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge akiangalia jinsi maji yanavyopita katika moja ya banio ambalo litatumika kugawa Maji kwenda katika mashamba ya mpunga katika mradi wa umwagilkiaji unaojengwa na JKkikosi cha 837 Chita JKT Ifakara,Mkoani Morogoro.


Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja General Charles Mbuge akitembelea moja ya ghala embalo litatumika kuhifadhia mpunga utakaovunwa katika mashamba hayo ya kimkakati wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo uliopo Ifakara Mkoani Morogoro.
:Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge  akiangalia moja ya mfereji wa kupeleka maji  unaojengwa katika skimu ya umwagiliaji ya JKT kikosi 837 Chita, unaopita chini ya reli unaopeleka maji katika  mashamba ya mpunga  wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo   Ifakara Mkoani Morogoro.Ujenzi wa miundombinu ya skimu hiyo umefikia asilimia 45 na unategemea kukamilika mwezi Mei 2021.
Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Meja General Charles Mbuge akiangalia sehemu ya ekari 2500 zilizopandwa mpunga na JKT kikosi cha 837 Chita wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo uliopo Ifakara mkoani Morogoro.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge  akiangalia moja ya mfereji wa kupeleka maji  unaojengwa katika skimu ya umwagiliaji ya Chita JKT kikosi 837 Chita JKT, unaopita chini ya reli unaopeleka maji katika  mashamba ya mpunga  wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo   Ifakara Mkoani Morogoro.Ujenzi wa miundombinu ya skimu hiyo umefikia asilimia 45 na unategemea kukamilika mwezi Mei 2021.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...