RAIS wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Urais kupitia uchaguzi mkuu wa Urais kwa kupata kura 5,851, 037 ambazo ni sawa na asilimia 58.64 huku mpinzani wake Robert Kyagulanyi maarufu kama Bob Wine akishika nafasi ya pili kwa kupata kura 3,475,398 sawa na asilimia 34.83 ya kura zote zilizopigwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...