Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (kulia), akimsikiliza Mtaalamu wa Majengo kutoka Idara ya Uhamiaji, Konstebo Denis Assey alipotembelea Kambi ya Mafunzo ya Uhamiaji Boma Kichakamiba iliyoko Wilayani Mkinga,Mkoani Tanga, leo.Wapili kulia ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (kulia), akisalimiana na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Uhamiaji cha Kikanda (TRITA),Naibu Kamishna  Abdallah Towo baada ya kuwasili  Kambi ya Mafunzo ya Uhamiaji Boma Kichakamiba iliyoko wilayani Mkinga, mkoani Tanga, leo

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mkinga,Yona Mark(kulia), baada ya kuwasili  Kambi ya Mafunzo ya Uhamiaji Boma Kichakamiba iliyoko wilayani Mkinga, mkoani Tanga,leo

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo akiteta jambo na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala(kulia)baada ya kuwasili  Kambi ya Mafunzo ya Uhamiaji Boma Kichakamiba iliyoko wilayani Mkinga, mkoani Tanga,leo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...