Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa tano kulia) akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Swala ya Ijumaa iliyoswalishwa na Sheikh Khalid Ali Mfaume (mbele) katika Masjid Afra Binti Issa Kidongochekundu Wilaya ya Mjini wakati alipowasili katika masjid hiyo leo kushiriki sala ya Ijumaa.[Picha na Ikulu] 01/01/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Husseinn Ali Mwinyi (kushoto) akizungumza
na Waumini wa Dini ya Kiislamu mara baada ya Swala ya Ijumaa katika
Masjid Afra Binti Issa Kidongochekundu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini
Magharibi .[Picha na Ikulu] 01/01/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza
na Waumini wa Dini ya Kiislamu mara baada ya Swala ya Ijumaa katika
Masjid Afra Binti Issa Kidongochekundu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini
Magharibi .[Picha na Ikulu] 01/01/2021.
Waumini wa Dini ya Kiislamu
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipozungumza nao leo mara
baada ya Swala ya Ijumaa katika Masjid Afra Binti Issa Kidongochekundu
Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi .[Picha na Ikulu] 01/01/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Imam Sheikh Omar Abeid wa Masjid Afra Binti Issa Kidongochekundu Wilaya ya Mjini wakati alipowasili katika Masjid hiyo leo kushiriki sala ya Ijumaa.[Picha na Ikulu] 01/01/2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...