Mshindi wa kwanza #PataPataNaTigoPesa atokea Dodoma: “Mathias January ndiye mshindi wetu wa milioni 5” Lumuliko Mengele-Meneja utendaji wa The Network Limited
FUNGA MWAKA NA MILIONI 10 #PataPataNaTigoPesa: Tigo na Kampuni ya The Network yachezesha droo ya washindi Jumla ya Tsh Milioni 10. Washindi wawili kushinda milioni 5 kila mmoja.
SHIRIKI USHINDE: Kushiriki mchezo #PataPataNaTigoPesa, mteja anatakiwa kwenda kwenye menu ya Tigo Pesa na kuchagua namba 4-Lipa bili, halafu anaingia namba 7-Michezo, anachagua namba 1-PataPata, na kuingiza namba za boksi alizochagua kati ya 1 hadi 6, vilevile atakatwa sh. 300. Baada ya hapo atapata majibu kama ameshinda na zawadi yake itaingizwa moja kwa moja kwenye akaunti yake ya Tigo Pesa. #Droo #PataPataNaTigoPesa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...