Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama  (mwenye mwavuli) wakikagua mradi wa shamba la uzalishaji Sukari wa Mkulazi Holding  Company eneo la Mbigiri (Dakawa) Morogoro leo Machi 15, 2021.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwasili katika Ofisi za Mkulazi Holding  Company kukagua mradi wa shamba la uzalishaji Sukari eneo la Mbigiri (Dakawa) Morogoro leo Machi 15, 2021.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akifafanua jambo mbele  ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) walipotembelea na kukagua mradi wa uzalishaji Sukari wa Mkulazi Holding  Company eneo la Mbigiri (Dakawa) Morogoro leo Machi 15, 2021. Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka na Kulia ni Makamu Mweyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Japhet Hasunga.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Kaboyoka (katikati) akizungumza wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi wa uzalishaji Sukari wa Mkulazi Holding  Company eneo la Mbigiri (Dakawa) Morogoro leo Machi 15, 2021.

 

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...