![]() |
“TUNASHUKURU sana @tigo_tanzania kwa kutuamini sisi kutunza miti hii 10,000 ambayo tutahusika kusimamia upandaji na utunzaje wake katika wilaya hii ya Hai.” Asifiwe James - Mkurugenzi @voewofo |
![]() |
MITI YETU NI UHAI WETU na kwamba mahitaji mengi muhimu katika maisha yetu ya kila siku yanategemea miti kwa njia moja au nyingine” Henry Kinabo - Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini |
![]() |
Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033 |
![]() |
Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033 |
![]() |
Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033 |
![]() |
Wafanyakazi wa @tigo_tanzania wakishirIki upandaji wa miti ya #TigoGreenForKili katika kuunga mkono mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theluji ya Mlima Kilimanjaro iliyoathiriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na shughuli za kibinadamu. |
![]() |
Wafanyakazi wa @tigo_tanzania wakishirIki upandaji wa miti ya #TigoGreenForKili katika kuunga mkono mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theluji ya Mlima Kilimanjaro iliyoathiriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na shughuli za kibinadamu. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...