Waziri wa Madini Mhe.Doto Biteko akikata utepe wakati akizindua kitabu cha mwongozi wa namna bora ya kuchukua sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa madini katika maabara na mafunzo kwa viongozi wa shirikishon la vyama vya wachimbaji wa madini nchini leo tarehe 11 Machi 2021 Jijini Dodoma.

Waziri wa Madini Mhe.Doto Biteko akimkabidhi nakala ya kitabu cha mwongozi wa namna bora ya kuchukua sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa madini katika maabara Rais wa FEMATA John BIna leo tarehe 11 Machi 2021 Jijini Dodoma.

Waziri wa Madini Mhe.Doto Biteko akiwa na viongozi wengine wa Serikali wakionyesha kitabu cha mwongozi wa namna bora ya kuchukua sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa madini katika maabara mara baada ya kukizindua leo tarehe 11 Machi 2021 Jijini Dodoma.

Picha na MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...