Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge wakati wa uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya  Mpango, Kiwango  na Ukomo wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2021/22 katika Ukumbi wa  Pius Msekwa Jijini Dodoma. Katikati ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango  akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya  Mpango, Kiwango  na Ukomo wa Bajeti  kwa mwaka wa Fedha 2021/22 katika Ukumbi wa  Pius Msekwa Jijini Dodoma.

Waheshimiwa Mawaziri, Wabunge na Watendaji wa Serikali wakifuatilia uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya  Mpango, Kiwango  na Ukomo wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2021/22 katika Ukumbi wa  Pius Msekwa Jijini Dodoma.

PICHA NA BUNGE

 

======  ========  =======  =========

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...