Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge wakati wa uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2021/22 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma. Katikati ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2021/22 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.
Waheshimiwa Mawaziri, Wabunge na Watendaji wa Serikali wakifuatilia uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2021/22 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE
====== ======== ======= =========
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...