
Mwandishi Mahiri katika Miradi ya Maendeleo Ben Mwanantala anatuletea kipindi Kipya CHA SISI NI WAZALENDO kikiwa kinaangazia utekelezaji wa Miradi yote ya Nchi nzima.
Kipindi HIKI kitaanza kurushwa hivi KARIBUNI kupitia Chanel mbalimbali kikiwemo Cha STAR TV na Chanel ya SISI NI WAZALENDO kupitia YouTube.
ILI KUNOGESHA KIPINDI HIKI Ben Mwanantala atakuwa na Mwenzake Sudi Shabani KUTOKA Mwanza wakinogesha kipindi HIKI.
KAA TAYARI EWEEE MZALENDO
MAMBO MAZURI NA MAKUBWA YANAKUJA.
HONGERA SANA MZALENDO BEN MWANANTALA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...