Kitengo cha Wateja Binafsi cha Ecobank Tanzania kikiongozwa na Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi, Salma Mkambara imetembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kutoa elimu kwa Waheshimwa wabunge na wafanyakazi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu huduma za Kibanki zinazotolewa na Benki hiyo.
Ecobank
Tanzania inaendelea kuunga mkono mikakati ya Serikali ya kuongeza tija
katika sekta ya huduma za fedha na kupanua huduma hizo ili kuwafikia
watanzania walio wengi na ambao hawajafikiwa na huduma za kibenki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...