Ungana na Mhe. Naibu Spika Dr. Tulia Ackson (MB) na Mlezi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Kampasi ya MBEYA kwa Kuchangia fedha kwaajili ya Ujenzi hosteli za wanafunzi wa kike katika kampasi ya Mbeya. Hosteli hizi zimekadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania bilioni 1.15.
Unaweza kushiriki kwa kupitia namba za Changizo hapo juu.
#ChangiaZaidiYaHarusi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...