Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro ameitaka Kamati ya Ujenzi inayojenga Mradi wa Ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Polisi mkoa wa Singida, kukamilisha mradi huo kwa muda uliokusudiwa ili liweze kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. 

IGP Sirro amesema hayo akiwa Mkoani Singida ambapo alikagua Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Polisi mkoani humo, mradi ambao unatekelezwa kupitia mfumo wa Nguvu kazi yaani Force Account na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi wa saba mwaka huu. IGP Sirro amekagua Mradi huo wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Dodoma, akitokea mkoani Mara alilokua

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...