Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga (kulia) akikabidhi nyaraka za makabidhiano ya ofisi kwa Katibu Mkuu mpya wa Sekta hiyo, Mhandisi Joseph Malongo, katika Ofisi za Wizara hiyo zilizopo Mtumba jijini Dodoma.

Katibu Mkuu  wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Joseph Malongo , akitoa maelekezo kwa  wajumbe wa Menejimenti ya Sekta ya Ujenzi mara baada ya kukabidhiwa  Ofisi na aliyekuwa  Katibu Mkuu wa  Sekta ya hiyo, Arch. Elius Mwakalinga (Kulia), kwenye Ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mtumba jijini Dodoma.

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga (kulia), akimuonesha baadhi ya nyaraka Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Joseph Malongo, wakati akimkabidhi ofisi, Mtumba jijini Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo (hayupo pichani), wakati akitoa maelekezo katika kikao cha kukabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Sekta hiyo, Mtumba jijini Dodoma.

PICHA NA WUU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...