Makamu wa Mwenyeikiti wa chama cha ACT wazalendo Juma Duni Hajji kizungumza na Makamu wa Kwanza Wa Rais zanzibar yenye Muundo wa Umoja wa Kitaifa Othman Masoud Othman Shariff alipofika Afisi Kuu ya Chama hicho Vuga Mjini Zanzibar kwa Ajili ya kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ambapo kwa Upand wa makamu huyo ni kikao cha kwanza chama kuhudhuria.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...