Makamu wa Mwenyeikiti wa chama cha  ACT wazalendo Juma Duni Hajji kizungumza na Makamu wa Kwanza Wa Rais zanzibar yenye Muundo wa Umoja wa Kitaifa Othman Masoud Othman Shariff alipofika Afisi Kuu ya Chama hicho Vuga Mjini Zanzibar kwa Ajili ya kuhudhuria  Kikao cha Kamati Maalum ambapo kwa Upand wa makamu huyo ni kikao cha kwanza chama kuhudhuria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...