Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna akiwa na Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB Bw. Filbert Mponzi wakifuatilia kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipolihutubia Bunge la Jamhuri jijini Dodoma kwa mara ya kwanza siku ya Alhamisi Aprili 22, 2021.  Pamoja nao ni Mkurugensi Mtendaji Mkuu wa Benki ya NBC Bw. Theobald Sabi akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bw. Abdulmajid Nsekele. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...