Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifurahia jambo na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja kwa njia ya kusalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...