Mshindi wa Bonge la Mpango, Paulina Moshi Mkazi wa Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara (mwenye tisheti yenye rangi ya chungwa) akishangilia pamoja na familia yake mara baada ya kukabidhiwa zawadi ya pikipiki ya magurudumu matatu kwenya hafla iliyofanyika Tawi la NMB Mbulu.

Mshindi wa kampeni ya Bonge la Mpango,Paulina Moshi akifurahia pamoja na Wafanyakazi wa Benki ya NMB baada ya kuifikisha pikipiki hiyo aliyoshinda hadi nyumbani kwake hapo.
Meneja wa Benki ya NMB, Kanda ya Kati, Nsolo Mlozi (katikati) akimkabidhi mshindi zawadi ya pikipiki ya magurudumu matatu - Paulina Moshi ,mkazi wa mtaa wa ujenzi Halmashauri Mbulu Mkoani Manyara. NMB ilimkabidhi mshindi huyo wa kampeni ya Bonge la Mpango inayoendeshwa nchi nzima kwa wateja wanaofungua au kuweka fedha kwenye akaunti zao za NMB. Kushoto ni Meneja wa NMB tawi la Mbulu, Rogate Iranga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...