RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana
na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
wa Abeid Amani Karume akiondoka Zanzibar kuelekea Nchini Msumbiji kumuwakilisha
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, katika
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za SADC unaofanyika Jijini Maputo Msumbiji (Picha na
Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakisalimiana na kuagana Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe. Mahmoud Mohammed Mussa
na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed
Said, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea
Nchini Msumbiji kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za SADC, kumuwakilisha Rais
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Idrisa Mustafa Kitwana, akielekea Nchini Msumbiji kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za SADC, akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, unaofanyeka Jijini Maputo Msumbuji.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Idrisa Mustafa Kitwana, akielekea Nchini Msumbiji kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za SADC, akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, unaofanyeka Jijini Maputo Msumbuji.(Picha na Ikulu)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...