NI Baba/Babu Anaitwa Peter Malatwe, Ana Umri Miaka 77, Kabila Mnyamwezi.
Amepotea Maeneo Ya Kongoe-Mbagala alipokua anaishi.
Ni siku ya tano sasa toka alipopotea.
Tafadhali, Tunaomba ushirikiano wako kufanikisha Hili, Sambaza Ujumbe Huu Kwenye Magroup Mengine.
Kwa mawasiliano zaidi Mpigie Anayemtafuta Anaitwa Veronica Petro Malatwe, Namba ya simu 0652200322
Au Toa Taarifa Kwenye Kituo Chochote Cha Polisi Kilichokuwa Karibu Nawe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...