Mkurugenzi wa Idara ya Wateja Wadogo na Kati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa (katikati) akizungumza katika hafla fupi ya Uzinduzi wa Kadi ya Uanachama wa Taasisi ya Taaluma ya Kibenki Tanzania (TIOB) uliofanyika leo Aprili 13, 2021 kwenye ofisi za Taasisi hiyo, zilizopo eneo la Kinondoni Morocco, Dar es salaam. Kadi hiyo pia inaweza kutumika kama Kadi ya Malipo ya kibenki ambayo inaweza kutumia kufanya malipo mbalimbali, kutoa fedha kwenye ATMs au kwa Wakala yeyote wa Benki ya CRDB. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taaluma ya Kibenki Tanzania (TIOB),Patrick Mususa  na kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Kadi wa Benki ya CRDB, Farid Seif.



Baadhi ya Wanachama wa 
Taasisi ya Mabenki Tanzania (TIOB) na wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo.
Picha ya pamoja.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...