Sehemu ya watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wakiwa katika kikao na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo (kushoto) akiwa katika kikao na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) wa Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) wa Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Hassan Chande wakiwa katika kikao na watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Vuga, Zanzibar. 

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS). 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo (mwenye suti nyeusi kulia) akiwa katika kikao na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) wa Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed pamoja na watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais alipofanya ziara ya kujitambulisha na Naibu Waziri wake Mhe. Hamad Hassan Chande, Vuga, Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo akizungumza katika kikao na watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) wa Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed, Vuga, Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo (kushoto) akiwa katika kikao na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) wa Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed pamoja na watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (hawapo pichani) alipofanya ziara ya kujitambulisha na Naibu Waziri wake Mhe. Hamad Hassan Chande, Vuga, Zanzibar.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...