Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua basi, lililounganishwa na kiwanda cha kuunganisha mabasi cha BM Motors, kilichopo Zegereni Kibaha mkoani Pwani, kinachomilikiwa na Mtanzania Bw. Jonas Nyagawa Aprili 27, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiingia kwenye basi, lililounganishwa na kiwanda cha kuunganisha mabasi cha BM Motors, kilichopo Zegereni Kibaha mkoani Pwani, kinachomilikiwa na Mtanzania Bw. Jonas Nyagawa Aprili 27, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Madawa cha Kairuki, Dk. Muganyizi Kairuki (kushoto), wakati alipotembelea kiwanda hicho kilichopo Zegereni Kibaha mkoani Pwani, Aprili 27, 2021. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Meneja wa Kiwanda cha Madawa cha Kairuki, Ellen Magita, wakati alipotembelea kiwanda hicho kilichopo Zegereni Kibaha mkoani Pwani, Aprili 27, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia basi, lililounganishwa na kiwanda cha kuunganisha mabasi cha BM Motors, kilichopo Zegereni Kibaha mkoani Pwani, kinachomilikiwa na Mtanzania Bw. Jonas Nyagawa Aprili 27, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa amekaa kwenye basi, lililounganishwa na kiwanda cha kuunganisha mabasi cha BM Motors, kilichopo Zegereni Kibaha mkoani Pwani, Aprili 27, 2021. Kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...