Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo (kushoto) na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, wakifurahia jambo, walipokuwa katika Mkutano wa Rais Samia Suluhu Hassan na Wazee, uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, jana.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo (kushoto) na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, wakijadilia jambo kwa undani, walipokuwa katika Mkutano wa Rais Samia Suluhu Hassan na Wazee, uliofanyika katika ukunbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...