Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akimnadi mgombea ubunge wa CCM katika Jimbo la Muhambwe, Dkt Florence Samizi kwenye uwanja wa Taifa Kibondo mjini Mei 4, 2021.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua kampeni za CCM katika Jimbo la Muhambwe kwenye Uwanja wa Taifa Mjini Kibondo, Mei 4, 2021.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akizungumza na mgombea Ubunge wa Jimbo la Muhambwe, Dkt. Florence Samizi katika mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za CCM katika jimbo hilo, Mei 4, 2021.
Wananchi wa Kibondo wakimshangilia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa Taifa Kibondo Mjini kuzindua kampeni za CCM za uchaguzi mdogo kwenye jimbo la Muhambwe.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akiingia kwenye uwanja wa Taifa Kibondo Mjini kuzindua kampeni za uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, Mei 4, 2021. Wa pili kulia ni Naibu Katibu kuu wa CCM, Bara, Christina Mndeme.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...