Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde akiongozana na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajabu Shaban leo amekutana na walimu,maimamu na masheikh wa kata wa Jiji la Dodoma na kutoa salamu zake na ujumbe kuelekea sikukuu ya Eid El fitri katika hafla iliyoenda sambamba na kuwashika mkono viongozi hao kwa kutoa Zakatul fitr
Viongozi hao wa dini walitoa shukran zao za dhati kwa Kwa Mhe Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini kupitia kwa Sheikh wa mkoa Dodoma Alhaj Sheikh Mustafa Rajabu Shabani kwa kuwathamini katika kipindi hiki Cha mfungo wa mwishoni mwa Ramadhani.
Home
HABARI
MBUNGE MAVUNDE 'AWASHIKA MKONO' VIONGOZI WA DINI DODOMA KUELEKEA SIKUKUU YA EID EL FITRI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...