Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akipata maelezo kutoka kwa maafisa wa Tigo kuhusu huduma na bidhaa mbalimbali zinazotolewa na kampuni ya simu ya TIgo mapema leo alipotembelea banda la tigo katika maonesho ya kitaifa ya sayansi, teknolojia na ubunifu(makisatu 2021) katika viwanja vya jamhuri Jijini Dodoma .
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akipata maelezo kutoka kwa maafisa wa Tigo kuhusu huduma na bidhaa mbalimbali zinazotolewa na kampuni ya simu ya TIgo mapema leo alipotembelea banda la tigo katika maonesho ya kitaifa ya sayansi, teknolojia na ubunifu(makisatu 2021) katika viwanja vya jamhuri Jijini Dodoma .
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akipata maelezo kutoka kwa maafisa wa Tigo kuhusu huduma na bidhaa mbalimbali zinazotolewa na kampuni ya simu ya TIgo mapema leo alipotembelea banda la tigo katika maonesho ya kitaifa ya sayansi, teknolojia na ubunifu(makisatu 2021) katika viwanja vya jamhuri Jijini Dodoma .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...