Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyeji wake Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta wakati akielekea kupanda Ndege kurejea nchini mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili Jijini Nairobi nchini Kenya leo tarehe 05 Mei, 2021.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimshukuru Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta ambaye aliambatana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta kumsindikiza mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili Jijini Nairobi nchini Kenya leo tarehe 05 Mei, 2021. PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...