Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za Mwisho kwenye jeneza
lenye mwili wa Marehemu Teddy Hollo Mapunda katika ukumbi wa Karimjee mkoa wa Dar es
Salaam leo Mei 09, 2021. .(Picha zote na
Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete akitoa Heshima za Mwisho kwenye
jeneza lenye mwili wa marehemu eddy Hollo
Mapunda katika ukumbi wa Karimjee
mkoa wa Dar es Salaam leo Mei 09, 2021.Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Kate Kamba (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Aboubakar Kunenge
wakitoa Heshima za
Mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Marehemu Teddy
Hollo Mapunda katika ukumbi wa Karimjee
mkoa wa Dar es Salaam leo Mei 09, 2021.Mkuu wa Jeshi la
Polisi Nchini IGP Simon Sirro akitoa Heshima za Mwisho
kwenye jeneza lenye mwili wa Marehemu Teddy
Hollo Mapunda katika ukumbi wa Karimjee
mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 09 Mei,
2021.Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na
Msemaji Mkuu wa Serikali,Gerson Msigwa
akitoa Heshima za Mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa marehemu Teddy Hollo Mapunda katika ukumbi wa Karimjee
mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 09
Mei, 2021.Mwigizaji na Mchekeshaji Steven Mengere a.k.a 'Steve Nyerere' akitoa Heshima za Mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa marehemu Teddy Hollo Mapunda katika ukumbi wa Karimjee
mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 09
Mei, 2021.(Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Home
JAMII
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ALIVYOONGOZA WANANCHI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU TEDDY HOLLO MAPUNDA MKOANI DAR LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...