Wafanyakazi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wakiwa katika sherehe za maadhimisho ya  Mei Mosi,katika uwanja wa Mkapa mkoani Dar es Salaam leo ,ambapo Kitaifa maadhimisho hayo yamefanyika jijini Mwanza na Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan

Wafanyakazi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wakiwa katika Maandamano kwenye sherehe za Mei Mosi,  katika Uwanja wa Mkapa leo Mkoani Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe Aboubakar Kunenge.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...