Katika Picha ya pamoja, Maafisa wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na maafisa wa NMB baada ya kumaliza kikao.
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Bank ya NMB kwa lengo la kushirikiana katika kutangaza utalii wa ndani na kuhamasisha watalii kutoka kwenye masoko mengine makubwa ya utalii duniani kuja kuvitembelea vivutio vya utalii vya Tanzania. Mkutano huo umefanyika leo tarehe 31/5/2021 katika ofisi ya NMB Bank Makao Makuu jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...