Wafanyakazi wa Tume ya Nguvu za Atomiki(TAEC) katika picha ya pamoja baada ya kushiriki maandamano na wafanyakazi wa Taasisi nyingine za Jiji la Arusha  kwenye maadhimisho  ya siku ya  wafanyakazi  duniani maarufu kama Mei Mosi  kwa  mwaka 2021,ambapo maandamano hayo   yalianzia katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha na kuhitimishwa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid na kupokelewa na  Mkuu wa Mkoa  Mhe.Iddi Kimanta.Maadhimisho ya kitaifa yanafanyika jijini Mwanza na kauli mbiu ni Maslahi bora , mishahara Juu na Kazi iendelee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...