Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akabidhi cheti cha ushiriki & udhamini kwa Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini, Bw Saidi Idd katika maonesho ya wiki ya ubunifu yaliyofanyika viwanja vya Jamhuri, Dodoma ambapo Tigo kwa mara ya kwanza imedhamini & imeshiriki kikamilifu kwa kuonesha bunifu mbalimbali za bidhaa na huduma ambazo Tigo imebuni ili kuleta ufanisi kwenye kufikia uchumi endelevu.

Tigo imeshiriki kikamilifu kueonesha bunifu mbalimbali za bidhaa na huduma ambazo imebuni ili kuleta ufanisi kwenye kufikia uchumi endelevu.

SHIRIKI +KIKAMILIFU=CHETI 😊:
Tigo imeshiriki kikamilifu kueonesha bunifu mbalimbali za bidhaa na huduma ambazo imebuni ili kuleta ufanisi kwenye kufikia uchumi endelevu.

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali na wadhamini wa maonesho ya sayansi, teknolojia na ubunifu. Tigo kwa mara ya kwanza imeshiriki na kudhamini kikamilifu maonesho hayo yanayofanyika kila mwaka.Tigo imeonesha bunifu mbalimbali za bidhaa na huduma ambazo imebuni ili kuleta ufanisi kwenye kufikia uchumi endelevu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...