Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia,  Profesa Joyce Ndalichako  ( wa pili kushoto) wakipata maelezo kutoka Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Paul Onyango  (kushoto) kuhusu uzalishaji wa vifaranga vya kambale katika Maadhimisho ya Sita ya  wiki ya Utafiti na Ubunifiu  ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, kwenye viwanja vya Maktaba Mpya  ya Chuo Kikuu hicho jijini Dar es salaam.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...